Tuesday, May 29, 2012

Msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) Atinga Mahakama Kuu



Msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) akiwa amezungukwa na walinzi kwenye Mahakama Kuu Dar es Salaam jana kutokana na tuhuma zinazomkabili za kuhusishwa na kifo cha msanii mwenzake Steven Kanumba.Na Mpigapicha Wetu

No comments:

Post a Comment