Tuesday, May 29, 2012

MBUNGE WA MBEYA MJINI(CHADEMA)JOSEPH MBILINYI ‘SUGU’ KUTOA BURUDANI KALI DAR LIVE JUMAPILI HII

Mr II akiongea na waandishi wa habari juu ya onyesho hilo.

Mr II akisisitiza jambo kwa  waandishi wa habari juu ya onyesho hilo.
 Mratibu wa Burudani na Matukio Dar Live, Juma Mbizo (kushoto) akiwa na Mr II.

Meneja Mkuu wa Global Publishers Abdalah Mrisho (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu burudani itakayotolewa na Sugu akiwa na wasanii wengine wakali   ambao ni pamoja na Professor J na Juma Nature.  Kulia ni Mratibu wa Shoo za Wasanii Dar Live, Luqman Maloto.

  Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza mkali huyo.

No comments:

Post a Comment